Informo pri la vorto ‐kubwa (svahilo → esperanto: granda)
Vortspeco
adjektivo
Uzekzemploj
Katika kipindi cha utawala wa Rais hayati John Magufuli (2015–2021), Tanzania ilipitia sintofahamu kubwa na mataifa ya magharibi kuhusu masuala ya demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na nafasi ya mashirika ya kiraia.